Ayubu 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Yeye hubomoa, ili pasiwe na ujenzi;+Yeye huifunga kwa ajili ya mwanadamu, ili isifunguliwe.+ Zaburi 127:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+
14 Tazama! Yeye hubomoa, ili pasiwe na ujenzi;+Yeye huifunga kwa ajili ya mwanadamu, ili isifunguliwe.+
127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+