Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 31:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yeye pia ana hekima+ na ataleta msiba,+ naye hakuyatangua maneno yake;+ na hakika yeye atasimama kushindana na nyumba ya watenda-maovu+ na kushindana na usaidizi wa wale wanaozoea kufanya mambo yenye kudhuru.+

  • Yeremia 51:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Na useme, ‘Hivi ndivyo Babiloni atakavyozama asiinuke tena kamwe kwa sababu ya msiba ambao ninaleta juu yake;+ nao hakika watajichosha.’”+

      Maneno ya Yeremia yamefikia hapa.

  • Malaki 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa sababu Edomu anaendelea kusema, ‘Tumevunjwa-vunjwa, lakini tutarudi na kujenga mahali palipoharibiwa,’ Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Wao watajenga; lakini mimi nitabomoa.+ Na watu watawaita wao kuwa “eneo la uovu” na “watu ambao Yehova ameshutumu+ mpaka wakati usio na kipimo.”

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndivyo pia Sodoma na Gomora na majiji yaliyoyazunguka,+ baada ya hayo kuwa yamefanya uasherati kwa kuzidi mno na kwenda kufuatilia mwili kwa ajili ya matumizi yasiyo ya asili,+ katika namna ileile kama hao waliotangulia kutajwa, yamewekwa mbele yetu kuwa kielelezo cha kuonya+ kwa kupatwa na adhabu ya hukumu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki