58 Yehova wa majeshi amesema hivi: “Ukuta wa Babiloni, ingawa ni mpana, bila shaka utabomolewa;+ na malango yake, ingawa ni marefu, yatawashwa moto.+ Na vikundi vya watu vitafanya kazi bure tu,+ na vikundi vya mataifa vitafanya kazi kwa ajili ya moto tu;+ nao watajichosha tu.”