Habakuki 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tazama! Je, si kutoka kwa Yehova wa majeshi kwamba vikundi vya watu vitaendelea kufanya kazi ya taabu kwa ajili ya moto tu, na kwamba vikundi vya mataifa vitajichosha bure tu?+
13 Tazama! Je, si kutoka kwa Yehova wa majeshi kwamba vikundi vya watu vitaendelea kufanya kazi ya taabu kwa ajili ya moto tu, na kwamba vikundi vya mataifa vitajichosha bure tu?+