Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Isaya 50:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Tazama! Ninyi nyote mnaowasha moto, mnaowasha cheche, tembeeni katika nuru ya moto wenu, na katikati ya cheche ambazo mmeziwasha moto. Hakika mtapata hili kutoka mkononi mwangu: Mtalala katika maumivu matupu.+

  • Yeremia 51:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Yehova wa majeshi amesema hivi: “Ukuta wa Babiloni, ingawa ni mpana, bila shaka utabomolewa;+ na malango yake, ingawa ni marefu, yatawashwa moto.+ Na vikundi vya watu vitafanya kazi bure tu,+ na vikundi vya mataifa vitafanya kazi kwa ajili ya moto tu;+ nao watajichosha tu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki