Zaburi 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Maumivu huwa mengi kwa wale ambao, wakati kuna mtu mwingine, humfuata haraka.+Sitamimina matoleo yao ya kinywaji ya damu,+Nami sitayachukua majina yao juu ya midomo yangu.+ Zaburi 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ana maumivu mengi;+Lakini mtu anayemtegemea Yehova, fadhili zenye upendo humzingira.+
4 Maumivu huwa mengi kwa wale ambao, wakati kuna mtu mwingine, humfuata haraka.+Sitamimina matoleo yao ya kinywaji ya damu,+Nami sitayachukua majina yao juu ya midomo yangu.+