15 Pigeni kelele za vita juu yake kila upande.+ Ametoa mkono wake.+ Nguzo zake zimeanguka. Kuta zake zimebomolewa.+ Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi juu yake. Kama alivyotenda, mtendeeni vivyo hivyo.+
44 Nami nitakaza fikira zangu juu ya Beli+ katika Babiloni, nami nitatoa katika kinywa chake kile ambacho amemeza.+ Na mataifa hayatamiminika kwake tena.+ Pia, lazima ukuta wenyewe wa Babiloni uanguke.+