Malaki 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ingawa Waedomu wanasema, ‘Tumevunjwavunjwa, lakini tutarudi na kujenga tena magofu,’ Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Watajenga, lakini nitabomoa, nao wataitwa “eneo la uovu” na “watu ambao Yehova amewahukumu milele.”+ Malaki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:4 “Kila Andiko,” uku. 152
4 “Ingawa Waedomu wanasema, ‘Tumevunjwavunjwa, lakini tutarudi na kujenga tena magofu,’ Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Watajenga, lakini nitabomoa, nao wataitwa “eneo la uovu” na “watu ambao Yehova amewahukumu milele.”+