Isaya 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana upanga wangu utaloweshwa mbinguni.+ Utashuka juu ya Edomu katika hukumu,+Juu ya watu ambao niliamua kuwaangamiza. Obadia 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,Nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto,Na nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;Watayachoma moto na kuyateketeza,Na hakuna atakayeokoka katika nyumba ya Esau,+Kwa maana Yehova mwenyewe amesema.
5 “Kwa maana upanga wangu utaloweshwa mbinguni.+ Utashuka juu ya Edomu katika hukumu,+Juu ya watu ambao niliamua kuwaangamiza.
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,Nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto,Na nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;Watayachoma moto na kuyateketeza,Na hakuna atakayeokoka katika nyumba ya Esau,+Kwa maana Yehova mwenyewe amesema.