5 “Kwa maana upanga+ wangu hakika utaloweshwa mbinguni. Tazama! Utashuka juu ya Edomu,+ na juu ya watu ambao nimewatenga ili niwaangamize+ katika haki.
18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto,+ nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto, nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;+ nao watayateketeza na kuyameza. Na hakutakuwapo waokokaji katika nyumba ya Esau;+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.