7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi amesema hivi: “Je, hakuna tena hekima+ yoyote katika Temani?+ Je, shauri limeangamia kutoka kwa wale walio na uelewaji? Je, hekima yao imeoza?+
22 Tazama! Mtu atapaa na kurukia mawindo kama tai,+ naye atanyoosha mabawa yake juu ya Bosra;+ na moyo wa wanaume wenye nguvu wa Edomu siku hiyo utakuwa kama moyo wa mke aliye na taabu ya kuzaa mtoto.”+