Yeremia 48:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Kama tai anayerukia mawindo,+ ndivyo mtu atakavyonyoosha mabawa yake juu ya Moabu.+ Yeremia 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,”+ asema Yehova, “kwamba Bosra+ litakuwa kitu cha kushangaza,+ shutuma, uharibifu na laana tupu; na majiji yake yote yatakuwa mahali palipoharibiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+
40 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Kama tai anayerukia mawindo,+ ndivyo mtu atakavyonyoosha mabawa yake juu ya Moabu.+
13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,”+ asema Yehova, “kwamba Bosra+ litakuwa kitu cha kushangaza,+ shutuma, uharibifu na laana tupu; na majiji yake yote yatakuwa mahali palipoharibiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+