16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa sababu ya uhakika wa kwamba wewe umefanya jambo hili nawe hukuzuia mwana wako, mwana wako wa pekee,+
23 Nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe+—neno limetoka kinywani mwangu katika uadilifu,+ hivi kwamba halitarudi+—kwamba kila goti litapigwa mbele zangu,+ kila ulimi utaapa,+
8 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,’+ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘ “Mimi ninachukia kiburi cha Yakobo,+ na minara ya makao yake nimeichukia,+ nami nitalitoa hilo jiji na vitu vyote vinavyolijaza.+