Methali 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+ Ezekieli 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nami kwa kweli nitaifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, na fahari ya nguvu zake itakomeshwa+ na milima ya Israeli itafanywa ukiwa,+ pasipo mtu anayepita katikati. Hosea 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake;+ na Israeli na Efraimu wamekwazwa katika kosa lao.+ Yuda pia amejikwaa pamoja nao.+
28 Nami kwa kweli nitaifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, na fahari ya nguvu zake itakomeshwa+ na milima ya Israeli itafanywa ukiwa,+ pasipo mtu anayepita katikati.
5 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake;+ na Israeli na Efraimu wamekwazwa katika kosa lao.+ Yuda pia amejikwaa pamoja nao.+