Methali 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yamekwezwa kama nini! na ambao macho yao yenye kung’aa yameinuliwa.+ Isaya 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na watu hakika watalijua,+ wote, Efraimu na mkaaji wa Samaria,+ kwa sababu ya majivuno yao na kwa sababu ya dharau lao la moyo kwa kusema:+ Hosea 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake,+ nao hawakurudi kwa Yehova Mungu wao,+ wala hawakumtafuta kwa sababu ya hayo yote.+
13 Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yamekwezwa kama nini! na ambao macho yao yenye kung’aa yameinuliwa.+
9 Na watu hakika watalijua,+ wote, Efraimu na mkaaji wa Samaria,+ kwa sababu ya majivuno yao na kwa sababu ya dharau lao la moyo kwa kusema:+
10 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake,+ nao hawakurudi kwa Yehova Mungu wao,+ wala hawakumtafuta kwa sababu ya hayo yote.+