Zaburi 101:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+ Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Methali 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Macho yenye majivuno na moyo wa kiburi,+ taa ya waovu, ni dhambi.+ Isaya 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+ 2 Wathesalonike 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye anapinga+ na kujiinua juu ya kila anayeitwa “mungu” au kitu cha kupewa heshima ya ibada, hivi kwamba yeye huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe hadharani kuwa mungu.+
5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+
11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+
4 Yeye anapinga+ na kujiinua juu ya kila anayeitwa “mungu” au kitu cha kupewa heshima ya ibada, hivi kwamba yeye huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe hadharani kuwa mungu.+