Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 101:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+

      Huyo ninamnyamazisha.+

      Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+

      Huyo siwezi kumvumilia.+

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Methali 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Macho yenye majivuno na moyo wa kiburi,+ taa ya waovu, ni dhambi.+

  • Isaya 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+

  • 2 Wathesalonike 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yeye anapinga+ na kujiinua juu ya kila anayeitwa “mungu” au kitu cha kupewa heshima ya ibada, hivi kwamba yeye huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe hadharani kuwa mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki