2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+ Isaya 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na kichwa cha Efraimu ni Samaria,+ na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia.+ Ninyi msipokuwa na imani, basi hamtadumu muda mrefu.”’”+
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+
9 Na kichwa cha Efraimu ni Samaria,+ na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia.+ Ninyi msipokuwa na imani, basi hamtadumu muda mrefu.”’”+