Ayubu 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mungu mwenyewe ataweka akiba ya madhara ya mtu kwa ajili ya wana wa mtu huyo;+Atampa thawabu ili ajue hayo.+ Ezekieli 33:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+
19 Mungu mwenyewe ataweka akiba ya madhara ya mtu kwa ajili ya wana wa mtu huyo;+Atampa thawabu ili ajue hayo.+
33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+