Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na wao wenyewe—wakati wa ufalme wao+ na katikati ya vitu vyako vingi vilivyo vyema+ ambavyo uliwapa na katika nchi pana na nono+ uliyowapa, hawakukutumikia+ wala kurudi kutoka katika mazoea yao mabaya.+

  • Isaya 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na watu hawakurudi kwa Yeye anayewapiga,+ nao hawakumtafuta Yehova wa majeshi.+

  • Yeremia 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa nini watu hawa, Yerusalemu, wanakosa uaminifu kwa ukosefu wa uaminifu unaodumu? Wameshika udanganyifu;+ wamekataa kurudi.+

  • Amosi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “ ‘Mimi pia, niliwapa ninyi usafi wa meno+ katika majiji yenu yote na upungufu wa mkate katika mahali penu pote;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.

  • Zekaria 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Msiwe kama baba zenu+ ambao manabii wa kale waliwaita,+ wakisema: “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tafadhali, rudini mwache njia zenu mbaya na mwache matendo yenu mabaya.’ ” ’+

      “ ‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunitegea sikio,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki