Amosi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Lakini mimi niliyafanya meno yenu yawe safi bila chakula* katika majiji yenu yoteNikasababisha mkose mikate katika nyumba zenu zote;+Lakini hamkunirudia,’+ asema Yehova. Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 4:6 w07 10/1 14; jd 60 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:6 Mnara wa Mlinzi,10/1/2007, uku. 144/1/1989, uku. 22 Siku ya Yehova, uku. 60
6 ‘Lakini mimi niliyafanya meno yenu yawe safi bila chakula* katika majiji yenu yoteNikasababisha mkose mikate katika nyumba zenu zote;+Lakini hamkunirudia,’+ asema Yehova.