Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nitakapoharibu hifadhi yenu ya* mikate,+ wanawake kumi wataoka mikate kwenye jiko moja tu na kuwapimia mikate kwa mizani;+ nanyi mtakula lakini hamtashiba.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Mtapanda mbegu nyingi shambani, lakini mtavuna mazao machache,+ kwa sababu nzige watayala.⁠

  • Kumbukumbu la Torati 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Watachoka kwa sababu ya njaa+

      Na kuliwa na homa kali na maangamizi machungu.+

      Nitawatumia meno ya wanyama ili yawashambulie+

      Na sumu ya wanyama wanaotambaa mavumbini.

  • 1 Wafalme 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Eliya akaenda kumwona Ahabu, wakati huo kulikuwa na njaa kali sana+ Samaria.

  • 2 Wafalme 4:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Elisha aliporudi Gilgali, kulikuwa na njaa kali nchini.+ Wana wa manabii+ walikuwa wameketi mbele yake, akamwambia mtumishi wake:+ “Weka kile chungu kikubwa motoni uwachemshie mchuzi wana wa manabii.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki