Isaya 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ekari kumi za* shamba la mizabibu zitazaa kipimo kimoja tu cha bathi,*Na kipimo kimoja cha homeri* ya mbegu kitazaa efa* moja tu.+ Hagai 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mnavuna kidogo.+ Mnakula, lakini hamshibi. Mnakunywa, lakini hamtosheki. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto. Kibarua huweka mshahara wake katika mfuko uliojaa mashimo.’”
10 Kwa maana ekari kumi za* shamba la mizabibu zitazaa kipimo kimoja tu cha bathi,*Na kipimo kimoja cha homeri* ya mbegu kitazaa efa* moja tu.+
6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mnavuna kidogo.+ Mnakula, lakini hamshibi. Mnakunywa, lakini hamtosheki. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto. Kibarua huweka mshahara wake katika mfuko uliojaa mashimo.’”