-
Yeremia 3:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+ 7 Hata baada ya kufanya mambo hayo yote, niliendelea kumwambia arudi kwangu,+ lakini hakurudi; na Yuda akaendelea kumtazama dada yake mwenye hila.+
-