7 Na baada ya yeye kufanya mambo hayo yote niliendelea kusema kwamba arudi kwangu, lakini hakurudi;+ na Yuda akaendelea kumtazama dada yake mwenye hila.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+