Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na Yehova akaendelea kuonya+ Israeli+ na Yuda+ kupitia manabii+ wake wote na kila mwonaji,+ akisema: “Geukeni kutoka katika njia zenu mbaya,+ mshike amri+ zangu, sheria+ zangu, kulingana na sheria+ yote niliyowaamuru mababu+ zenu na ambayo nimepeleka kwenu kupitia watumishi wangu manabii”;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo wakimbiaji+ walio na zile barua kutoka katika mkono wa mfalme na wa wakuu+ wake wakaenda katika Israeli yote na Yuda, kulingana na amri ya mfalme, na kusema: “Ninyi wana wa Israeli, rudini+ kwa Yehova Mungu+ wa Abrahamu, Isaka na Israeli, ili yeye arudi kwa wale walioponyoka+ ambao wamebaki kati yenu kutoka katika mkono wa wafalme wa Ashuru.+

  • Hosea 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Ee Israeli, rudi kwa Yehova Mungu wako,+ kwa maana umejikwaa katika kosa lako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki