Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+

  • Yeremia 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na sasa, tafadhali, waambie watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama, ninafanya msiba juu yenu na kutafakari wazo fulani juu yenu.+ Geukeni, tafadhali, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya, na mfanye njia zenu na matendo yenu kuwa mema.”’”+

  • Yeremia 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova alituma kwenu watumishi wake wote manabii, akiamka mapema na kuwatuma, lakini hamkusikiliza,+ wala hamkutega sikio lenu ili kusikiliza,+

  • Ezekieli 18:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tupilieni mbali kutoka juu yenu makosa yenu yote mliyokosa+ na kujifanyia wenyewe moyo mpya+ na roho mpya,+ kwa maana kwa nini mfe,+ Ee nyumba ya Israeli?’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki