3 Labda watasikiliza na kurudi, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ nami nitajuta msiba ninaofikiria kuleta juu yao kwa sababu ya ubaya wa matendo yao.+
3 “Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, nakusudia msiba+ juu ya familia hii+ ambao hamtaziondoa shingo zenu+ ndani yake, ili msitembee kwa majivuno;+ kwa sababu ni wakati wa msiba.+