Mika 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Sasa basi nakusudia kuiletea familia hii msiba+ ambao hamtaweza kuuepuka.*+ Hamtatembea tena kwa kiburi,+ kwa sababu utakuwa wakati wa msiba.+
3 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Sasa basi nakusudia kuiletea familia hii msiba+ ambao hamtaweza kuuepuka.*+ Hamtatembea tena kwa kiburi,+ kwa sababu utakuwa wakati wa msiba.+