29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa ajili yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza kwa ajili yangu, sitauleta ule msiba katika siku zake.+ Katika siku za mwana wake nitauleta msiba ule juu ya nyumba yake.”+
8 na kwa kweli taifa lile ligeuke kutoka katika ubaya wake ambao nilisema juu yake,+ mimi pia nitajuta juu ya ule msiba niliokuwa nimefikiria kuutimiza juu yake.+