Zaburi 86:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na mwenye neema,+Si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo na ukweli.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+
15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na mwenye neema,+Si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo na ukweli.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+