7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+
3 Labda wale wa nyumba ya Yuda watausikiliza msiba wote ninaofikiria kuwatendea,+ kusudi warudi, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ na ili mimi kwa kweli nisamehe kosa lao na dhambi yao.”+