Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+

  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+

  • Yeremia 36:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Labda wale wa nyumba ya Yuda watausikiliza msiba wote ninaofikiria kuwatendea,+ kusudi warudi, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ na ili mimi kwa kweli nisamehe kosa lao na dhambi yao.”+

  • Ezekieli 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “ ‘Na mwovu anapogeuka na kuuacha uovu wake ambao ameutenda naye atende haki na uadilifu,+ yeye ndiye atakayeihifadhi hai nafsi yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki