Yeremia 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehova aliwatuma kwenu watumishi wake wote manabii, aliwatuma tena na tena,* lakini hamkusikiliza, wala kutega sikio lenu ili msikie.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:4 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, uku. 22
4 Na Yehova aliwatuma kwenu watumishi wake wote manabii, aliwatuma tena na tena,* lakini hamkusikiliza, wala kutega sikio lenu ili msikie.+