19 “Na itatukia kwamba ikiwa utamsahau Yehova Mungu wako hata kidogo nawe ufuate miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia, nashuhudia juu yenu leo kwamba ninyi mtaangamia kabisa.+
46 ndipo akawaambia: “Tieni mioyo yenu katika maneno yote ninayosema kwa kuwaonya ninyi leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kufanya maneno yote ya sheria hii.+