Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani. Zaburi 50:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Sikilizeni, enyi watu wangu, nami nitasema,+Ee Israeli, nami nitatoa ushahidi dhidi yako.+Mimi ni Mungu, Mungu wako.+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.
7 “Sikilizeni, enyi watu wangu, nami nitasema,+Ee Israeli, nami nitatoa ushahidi dhidi yako.+Mimi ni Mungu, Mungu wako.+