26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+
38 Na Elisha mwenyewe akarudi Gilgali,+ na kulikuwa na njaa+ katika nchi. Baada ya muda, wana+ wa manabii walipokuwa wamekaa mbele yake,+ akamwambia mtumishi+ wake: “Tia kile chungu kikubwa cha kupikia, uwatokosee mchuzi wana wa manabii.”+