Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Utapeleka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya chache,+ kwa sababu nzige wataimeza.+

  • 1 Wafalme 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Eliya akaenda kujionyesha kwa Ahabu, njaa ilipokuwa kali+ katika Samaria.

  • 2 Wafalme 4:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na Elisha mwenyewe akarudi Gilgali,+ na kulikuwa na njaa+ katika nchi. Baada ya muda, wana+ wa manabii walipokuwa wamekaa mbele yake,+ akamwambia mtumishi+ wake: “Tia kile chungu kikubwa cha kupikia, uwatokosee mchuzi wana wa manabii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki