37 “Njaa+ ikitokea katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza, ukungu,+ nzige,+ mende;+ adui yao akiwazingira katika nchi ya malango yao—pigo la namna yoyote, ugonjwa wa namna yoyote—
28 “Njaa ikitokea+ katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza,+ ukungu,+ nzige+ na mende;+ adui+ zao wakiwazingira katika nchi ya malango yao+—pigo la namna yoyote na ugonjwa wa namna yoyote+ —
3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.
25 Nami nitawalipa ninyi ridhaa kwa sababu ya miaka ambayo nzige, nzige mchanga, na mende na kiwavi wamekula, jeshi langu kubwa ambalo nimetuma kati yenu.+