Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Njaa+ ikitokea katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza, ukungu,+ nzige,+ mende;+ adui yao akiwazingira katika nchi ya malango yao—pigo la namna yoyote, ugonjwa wa namna yoyote—

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Njaa ikitokea+ katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza,+ ukungu,+ nzige+ na mende;+ adui+ zao wakiwazingira katika nchi ya malango yao+—pigo la namna yoyote na ugonjwa wa namna yoyote+ —

  • Yoeli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.

  • Yoeli 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitawalipa ninyi ridhaa kwa sababu ya miaka ambayo nzige, nzige mchanga, na mende na kiwavi wamekula, jeshi langu kubwa ambalo nimetuma kati yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki