22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.
9 “ ‘Niliwapiga ninyi kwa kuunguza na kwa ukungu.+ Bustani zenu na mashamba yenu ya matunda mliongeza, lakini mitini yenu na mizeituni yenu ililiwa na kiwavi;+ hata hivyo hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.