Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.

  • 1 Wafalme 8:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Njaa+ ikitokea katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza, ukungu,+ nzige,+ mende;+ adui yao akiwazingira katika nchi ya malango yao—pigo la namna yoyote, ugonjwa wa namna yoyote—

  • Hagai 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Niliwapiga ninyi kwa kuwaunguza+ na kwa ukungu+ na kwa mvua ya mawe,+ hata kazi yote ya mikono yenu,+ na hakukuwa na yeyote kati yenu aliyegeuka kuja kwangu,’+ asema Yehova—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki