22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.
37 “Njaa+ ikitokea katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza, ukungu,+ nzige,+ mende;+ adui yao akiwazingira katika nchi ya malango yao—pigo la namna yoyote, ugonjwa wa namna yoyote—
17 Niliwapiga ninyi kwa kuwaunguza+ na kwa ukungu+ na kwa mvua ya mawe,+ hata kazi yote ya mikono yenu,+ na hakukuwa na yeyote kati yenu aliyegeuka kuja kwangu,’+ asema Yehova—