16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+
25 Baada ya muda njaa kali ikatokea katika Samaria,+ na, tazama! walilizingira mpaka kichwa cha punda+ kikawa na thamani ya vipande 80 vya fedha, na sehemu ya nne ya kipimo cha kabi cha mavi+ ya njiwa ikawa na thamani ya vipande 5 vya fedha.