26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+
4 Kama tukisema, ‘Tuingie katika jiji,’ wakati kuna njaa katika jiji, pia tutakufa humo.+ Nasi tukiketi hapa, pia tutakufa. Basi sasa njooni, tuivamie kambi ya Wasiria. Wakituhifadhi hai, tutaishi; lakini wakituua, basi tutakufa.”+