2 Wafalme 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tukisema, ‘Acheni tuingie jijini,’ na bado kuna njaa kali jijini,+ tutafia humo. Nasi tukiketi hapa, bado tutakufa. Basi sasa twende zetu kwenye kambi ya Wasiria. Wakituruhusu tuishi, tutaishi; lakini wakituua, basi tutakufa.”
4 Tukisema, ‘Acheni tuingie jijini,’ na bado kuna njaa kali jijini,+ tutafia humo. Nasi tukiketi hapa, bado tutakufa. Basi sasa twende zetu kwenye kambi ya Wasiria. Wakituruhusu tuishi, tutaishi; lakini wakituua, basi tutakufa.”