26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+
14 Nawe utakula wala hutashiba, nawe utakuwa na njaa.+ Nawe utaondoa vitu, lakini hutavichukua na kuvipeleka salama; na chochote ambacho utachukua na kukipeleka salama, nitakitoa kwa upanga.+