Kumbukumbu la Torati 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Usile kitu chenye kuchukiza cha namna yoyote.+ Ezekieli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+ Matendo 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na ndani yake mlikuwa namna zote za viumbe wenye miguu minne na vitu vinavyotambaa vya dunia na ndege wa mbinguni.+
14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+
12 na ndani yake mlikuwa namna zote za viumbe wenye miguu minne na vitu vinavyotambaa vya dunia na ndege wa mbinguni.+