22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.
37 “Njaa+ ikitokea katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza, ukungu,+ nzige,+ mende;+ adui yao akiwazingira katika nchi ya malango yao—pigo la namna yoyote, ugonjwa wa namna yoyote—
28 “Njaa ikitokea+ katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza,+ ukungu,+ nzige+ na mende;+ adui+ zao wakiwazingira katika nchi ya malango yao+—pigo la namna yoyote na ugonjwa wa namna yoyote+ —