Kumbukumbu la Torati 28:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Utapeleka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya chache,+ kwa sababu nzige wataimeza.+ Yoeli 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kilichoachwa na kiwavi, nzige amekula;+ kilichoachwa na nzige, nzige mchanga amekula; kilichoachwa na nzige mchanga, mende amekula.+ Yoeli 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami nitawalipa ninyi ridhaa kwa sababu ya miaka ambayo nzige, nzige mchanga, na mende na kiwavi wamekula, jeshi langu kubwa ambalo nimetuma kati yenu.+
4 Kilichoachwa na kiwavi, nzige amekula;+ kilichoachwa na nzige, nzige mchanga amekula; kilichoachwa na nzige mchanga, mende amekula.+
25 Nami nitawalipa ninyi ridhaa kwa sababu ya miaka ambayo nzige, nzige mchanga, na mende na kiwavi wamekula, jeshi langu kubwa ambalo nimetuma kati yenu.+