10 Kwa maana hata ekari kumi+ za shamba la mizabibu zitazaa kipimo kimoja tu cha bathi,+ na hata kipimo kimoja cha homeri ya mbegu kitazaa kipimo kimoja tu cha efa.+
6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo.+ Mnakula chakula, lakini hamshibi.+ Mnakunywa, lakini hamlewi. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto; na yeye anayeajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matundu.’ ”+