Kumbukumbu la Torati 28:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Utapeleka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya chache,+ kwa sababu nzige wataimeza.+ Amosi 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Niliwapiga ninyi kwa kuunguza na kwa ukungu.+ Bustani zenu na mashamba yenu ya matunda mliongeza, lakini mitini yenu na mizeituni yenu ililiwa na kiwavi;+ hata hivyo hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.
9 “ ‘Niliwapiga ninyi kwa kuunguza na kwa ukungu.+ Bustani zenu na mashamba yenu ya matunda mliongeza, lakini mitini yenu na mizeituni yenu ililiwa na kiwavi;+ hata hivyo hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.