9 “ ‘Niliwapiga ninyi kwa kuunguza na kwa ukungu.+ Bustani zenu na mashamba yenu ya matunda mliongeza, lakini mitini yenu na mizeituni yenu ililiwa na kiwavi;+ hata hivyo hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.
17 Niliwapiga ninyi kwa kuwaunguza+ na kwa ukungu+ na kwa mvua ya mawe,+ hata kazi yote ya mikono yenu,+ na hakukuwa na yeyote kati yenu aliyegeuka kuja kwangu,’+ asema Yehova—