27 Nao wale ng’ombe saba waliokonda ambao walipanda baada yao ni miaka saba; na yale masuke saba ya nafaka yaliyo matupu, yaliyounguzwa na upepo wa mashariki,+ yatakuwa miaka saba ya njaa.+
9 “ ‘Niliwapiga ninyi kwa kuunguza na kwa ukungu.+ Bustani zenu na mashamba yenu ya matunda mliongeza, lakini mitini yenu na mizeituni yenu ililiwa na kiwavi;+ hata hivyo hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.