Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami hakika nitaleta juu yenu upanga unaolipiza kisasi+ kwa ajili ya agano;+ na hakika ninyi mtajikusanya katika majiji yenu, nami hakika nitaleta tauni katikati yenu,+ nanyi mtatiwa mkononi mwa adui.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu,+ Shishaki+ mfalme wa Misri akaja kushambulia Yerusalemu, (kwa maana walikuwa wamejiendesha kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova,)+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Baada ya mambo hayo na mwendo huu wa uaminifu+ Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akaja na kuvamia Yuda na kupiga kambi juu ya majiji yenye ngome,+ naye akaendelea kufikiria kuyafanya yawe yake kwa kuyavunja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki